Artwork

Nội dung được cung cấp bởi UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Tất cả nội dung podcast bao gồm các tập, đồ họa và mô tả podcast đều được UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations hoặc đối tác nền tảng podcast của họ tải lên và cung cấp trực tiếp. Nếu bạn cho rằng ai đó đang sử dụng tác phẩm có bản quyền của bạn mà không có sự cho phép của bạn, bạn có thể làm theo quy trình được nêu ở đây https://vi.player.fm/legal.
Player FM - Ứng dụng Podcast
Chuyển sang chế độ ngoại tuyến với ứng dụng Player FM !

03 OKTOBA 2024

11:16
 
Chia sẻ
 

Manage episode 443363465 series 2027789
Nội dung được cung cấp bởi UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Tất cả nội dung podcast bao gồm các tập, đồ họa và mô tả podcast đều được UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations hoặc đối tác nền tảng podcast của họ tải lên và cung cấp trực tiếp. Nếu bạn cho rằng ai đó đang sử dụng tác phẩm có bản quyền của bạn mà không có sự cho phép của bạn, bạn có thể làm theo quy trình được nêu ở đây https://vi.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika ugonjwa wa homa ya nyani au mpox. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za machafuko Lebanon, Haiti na Sudan. Katika kujifunza Kiswahili Onni Sigalla anafafanua maana ya neno “NGEJA” Mashariki ya Kati, nchini Lebanon hali inaendelea kuwa tete amesema mratibu maalum wa Umoja wa mataifa nchini humo Jeanine Hennis Plasschaert. Kupiti ukurasa wake wa mtandao wa X amesema umekuwa usiku mwingine wa kutoka kulala mjini Beiruti milipuko ikighubika mji huo bila tahadhari, raia wakikumbwa na taharuki bila kujua mustakbali wao.Mtaalamu mhuru wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Sudan Radhouane Nouicer, leo ametoa wito kwa jeshi la Sudan (SAF), Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na wanamgambo wenye silaha kuchukua hatua za haraka kuhakikisha ulinzi wa raia mjini Khartoum, huku kukiwa na ongezeko la uhasama na ripoti za kutatanisha za mauaji ya kiholela.Na zaidi ya watu laki 7, sasa ni wakimbizi wa ndani nchini Haiti huku zaidi ya nusu ya idadi hiyo ni watoto, imesema ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.Ripoti inasema kuna ongezeko la asilimia 22 la watu waliofurushwa makwao, ambapo machafuko ya magenge ya uhalifu yamewalazimisha watu 110,000 kuzikimbia nyumba zao katika miezi saba iliyopita pkee. IOM imesema ongezeko hilo linasisitiza haja ya msaada zaidi wa kibinadamu kwa ajili ya waathirika.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “NGEJA”?Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 tập

Artwork
iconChia sẻ
 
Manage episode 443363465 series 2027789
Nội dung được cung cấp bởi UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Tất cả nội dung podcast bao gồm các tập, đồ họa và mô tả podcast đều được UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations hoặc đối tác nền tảng podcast của họ tải lên và cung cấp trực tiếp. Nếu bạn cho rằng ai đó đang sử dụng tác phẩm có bản quyền của bạn mà không có sự cho phép của bạn, bạn có thể làm theo quy trình được nêu ở đây https://vi.player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika ugonjwa wa homa ya nyani au mpox. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za machafuko Lebanon, Haiti na Sudan. Katika kujifunza Kiswahili Onni Sigalla anafafanua maana ya neno “NGEJA” Mashariki ya Kati, nchini Lebanon hali inaendelea kuwa tete amesema mratibu maalum wa Umoja wa mataifa nchini humo Jeanine Hennis Plasschaert. Kupiti ukurasa wake wa mtandao wa X amesema umekuwa usiku mwingine wa kutoka kulala mjini Beiruti milipuko ikighubika mji huo bila tahadhari, raia wakikumbwa na taharuki bila kujua mustakbali wao.Mtaalamu mhuru wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Sudan Radhouane Nouicer, leo ametoa wito kwa jeshi la Sudan (SAF), Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na wanamgambo wenye silaha kuchukua hatua za haraka kuhakikisha ulinzi wa raia mjini Khartoum, huku kukiwa na ongezeko la uhasama na ripoti za kutatanisha za mauaji ya kiholela.Na zaidi ya watu laki 7, sasa ni wakimbizi wa ndani nchini Haiti huku zaidi ya nusu ya idadi hiyo ni watoto, imesema ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.Ripoti inasema kuna ongezeko la asilimia 22 la watu waliofurushwa makwao, ambapo machafuko ya magenge ya uhalifu yamewalazimisha watu 110,000 kuzikimbia nyumba zao katika miezi saba iliyopita pkee. IOM imesema ongezeko hilo linasisitiza haja ya msaada zaidi wa kibinadamu kwa ajili ya waathirika.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “NGEJA”?Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 tập

All episodes

×
 
Loading …

Chào mừng bạn đến với Player FM!

Player FM đang quét trang web để tìm các podcast chất lượng cao cho bạn thưởng thức ngay bây giờ. Đây là ứng dụng podcast tốt nhất và hoạt động trên Android, iPhone và web. Đăng ký để đồng bộ các theo dõi trên tất cả thiết bị.

 

Hướng dẫn sử dụng nhanh