show episodes
 
Artwork

1
tena talks

Tena Pettis

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Hi, my name is tena and I talk... a lot. So I figured I may as well put these vocal chords to good use. This isn't my first podcast but it just might be my last. See, my passions are probably not unlike yours - they are plentiful and kind of all over the place. I can hardly be defined by one area of expertise when it comes to biz and I love things like weiner dogs, a good game night and books - all the books. So honestly it just made sense to brand me. This brings us to this show - tena talk ...
  continue reading
 
Welcome to Psychic Radio Network. A radio network designed to reach out to the public with valuable advice, commentary and special inside information for Psychic Readings, Psychic Medium, Inspirational, Spirits, Guides, and Paranormal. Psychic Radio Network was founded by Psychic Tena Marie who is internationally recognized for both her Psychic & Paranormal abilities. Tena Marie has spot on psychic readings over the in person and phone. Tena has performed over a hundred of paranormal investi ...
  continue reading
 
Your Ex-Boyfriend’s Podcast is a critical look into being human, centered on one man’s journey to be healthy, happy, and fulfilled, led by Justis Tena, your local jack-of-all-trades. Each week on Sunday, we’ll discuss a different topic related to personal growth and navigating life, ranging from fear and shame, to finding purpose and joy, to critical thinking and setting boundaries. Solo episodes by Justis will be alternated with special guests, including nurses, police officers, sex coaches ...
  continue reading
 
Director Carlos Marques-Marcet, actor Natalia Tena, and cinematographer Dagmar Weaver-Madsen talk about 10,000 km. The romantic comedy-drama follows Alex and Sergi—a Barcelona couple who are planning their future—until Alex gets an artistic residency in LA and leaves Sergi behind. Separated by 10,000 kilometers—they rely on virtual communication to keep their relationship going—but is it enough?
  continue reading
 
Artwork

1
Blum

El Extraordinario

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Art History student Clara Torres disappears while working on her thesis about Ursula Blum, a avant-garde painter from the 20th century. Five years later, journalist Emma Clark decides to travel to Switzerland to continue Clara's investigation and narrate in a podcast what she discovers about the mystery surrounding both women. Blum is an audio drama produced by El Extraordinario, created, written, and directed by Carmen Pacheco and Manuel Bartual. Starring Charlotte Vega, Joe Manjón, Nikki G ...
  continue reading
 
Where bodybuilding meets woo woo magic. ✨Join Emily, a Nutrition, Fitness & Mindset Coach, National Level Bikini Competitor, Yoga teacher, Reiki level 2 Practitioner, and Eclectic Witch for advice & discussions that relate to your wellbeing--from science based nutritional advice to the woo woo as it relates to wellness.
  continue reading
 
Artwork

1
Jukwaa la Michezo

RFI Kiswahili

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tuần
 
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
  continue reading
 
Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wagonjwa Wa GOITA Kama wewe ni mgonjwa wa GOITA ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika basi naomba unisikilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako. Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 200 wa GOITA nimekuja kugundua kuwa tiba ya ugojwa huo sio upasuaji tu kama madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na ta ...
  continue reading
 
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
  continue reading
 
Artwork

1
Seeds & Weeds Podcast

Bevin Cohen, Small House Farm

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng+
 
Join us as we talk with gardeners, foragers, herbalists, chefs and community activists to explore the many ways that plants impact our cultures and cuisines, our history and our future. Along the way, we'll also learn quite a bit about growing our own! The Seeds and Weeds Podcast is hosted by Bevin Cohen and brought to you by Small House Farm. Support the show: www.patreon.com/smallhousefarm
  continue reading
 
Artwork

1
C19: America in the 19th Century

Society of Nineteenth-Century Americanists

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
The C19 Podcast is a production by scholars from across the world exploring the past, present, and future through an examination of the United States in the long nineteenth century. The official podcast of C19: The Society of Nineteenth-Century Americanists.
  continue reading
 
Artwork

1
Benjamin Maio Mackay's Talk 2 Me

Preachrs Podcast OnLine & OnStage

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Benjamin Maio Mackay's Talk 2 Me! was one of the most downloaded arts and entertainment podcasts in Australia. Enjoy actor, director, comedian and producer Benjamin Maio Mackay talking to stars of the entertainment industry about their work, life and experiences. Talk 2 Me completed 7 seasons, comprising of 100 episodes. While the show is currently on hiatus a return has not been ruled out. The show's initial run was over 7 seasons between 2014-2020. The show features interviews with worldwi ...
  continue reading
 
61. Shirlvin Desir - Rivals 62. Lecrae, Scootie Wop - Add It Up 63. Jor'Dan Armstrong - Energy 64. Dee-1 - Your Story is Your Glory 65. Toyalove, Angie Rose, Wande - Encore 66. Jon Keith - Pleez 67. Ollie Rich - Pray For Me 68. Planetshakers - Rejoice 69. Latrice Pace - Don't Give up (Down South Mix) 70. Mission - Marvelous 71. Miles Minnick, DKG KIE - Revival Kit 72. Don Ready - Workout 73. Leon Anderson - 4AM in LA 74. Caleb Gordon - Yesterday Is Gone 75. Jay-Way - Stuck In My Head 76. Pla ...
  continue reading
 
Follow along on our journey of living off-grid on our 42 acre homestead in western Colorado as well as running a medicinal herb farm and creating seasonal herbal products to meet the needs of our community. Other topics discussed will include planning and goal setting for your best life, the importance of community building, and tons of DIY projects for the farmstead. Help keep the show going by checking out our online farm store at foxandelder.com/shop. We appreciate your support so, so much!
  continue reading
 
Artwork

1
Nipe Story

Podcast by Finger Piano Productions

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Nipe Story (Tell Me A Story) is a fortnightly Kenyan podcast that gives a voice to written short stories. This podcast is hosted by Kevin Mwachiro. @kevmwachiro Karibu! Welcome.
  continue reading
 
Artwork

1
Studio ASC

Studio ASC

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Welcome to Studio ASC, produced and distributed by All Saints Church in Pasadena, CA. In this podcast, we explore the many faces of activism, justice, compassion and love in the world today.
  continue reading
 
Wanawake wengi wanajikuta wana uzito fulani kuhusu mambo ya ndani(intimacy)Afya ya akili(Mental health ) ni muhimu na ni mazungumzo ambao yanabidi yazungumzwe kwa uwazi ili wanawake wasijisikie wako peke yao kwenye mambo mengi kwa hofu ya kudhalilishwa au kitiwa /kujihisi aibu kuwa wanapitia mengi yalokuwa yanawabomowa kisaikolojia.Jumuika nami tukuwa na wazungumzaji tofauti kila wiki tujijenge kiafya.
  continue reading
 
Artwork

1
Credit Union Strategy Podcast

CU Strategy Forum & 454 Creative

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Welcome to The CU Strategy Podcast, a podcast designed especially for Credit Union leaders. Our goal is to bring you the latest resources for your membership. Whether your credit union has ten thousand or ten million members, we think you’ll find our conversations valuable.
  continue reading
 
Artwork

1
Witch With Books

Witch With Books

Unsubscribe
Unsubscribe
Hàng tháng
 
Every month on Witch With Books it's all about Witch, Wiccan, Pagan, and Magickal books! Hosts Meg Rosenbriar and Jason Mankey are more than just avid readers (and fans) of Witchcraft books, they are also both published authors and active practitioners, with all the additional insights those experiences bring! Listen in as they preview new releases, share their monthly favorites, chat about the classics, and recommend some overlooked gems. If you love Witchcraft and books you'll love the Wit ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Tuliyokuandalia ni pamoja na taarifa ya Rais wa CAF Patrice Motsepe kuwania tena urais muhula wa pili, hukumu ya CAF katika mechi ya Nigeria dhidi ya Libya, yaliyotukia kwenye ziara ya rais wa Olimpiki ya kimataifa nchini Kenya na Kongamano la tatu la kibiashara la soka Afrika, uchambuzi wa michuano ya Kombe la Dunia la kina dada U17, Senegal ikihi…
  continue reading
 
Hali Gaza inaendelea kuwa tete wakati ucheleweshwji wa kuhamisha wagonjwa hususan watoto wanaohitaji msaada wa haraka wa huduma za afya imekuwa ni hukumu ya kifo kwao huku maelfu ya watu wakiendelea kukosa mahitaji ya muhimu ya kila siku ikiwemo chakula kama mkate, yameonya leo mashirika ya Umoja wa Mataifa.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia …
  continue reading
 
Kampuni ya Craftskills Wind Energy International Limited inayoendesha Mradi wa Kipeto Energy jana Siku ya Umoja wa Mataifa ilitwaa tuzo ya “Mtu Bora wa Mwaka wa Umoja wa Mataifa.”Mradi wa Kipeto wa kampuni hiyo unatoa nishani ya umeme kwa kaya 250,000 katika eneo la Esilanke kaunti ya Kajiado nchini Kenya ukizalisha megawati 100 za umeme tangu 2021…
  continue reading
 
Wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wanaendelea kukimbilia Uganda kukwepa machafuko nchini mwao, huku rasilimali zikikaribia kikomo. Ameonya Kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mtaifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi, akiwa ziarani nchini Uganda hivi karibuni kwenye kambi inayohifadhi wakimbizi wa DRC na kutoa wito k…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na ujumbe wa Filippo Grandi wa UNHCH ambaye yuko ziarani Uganda. Makala tunakupeleka nchini Kenya na mashinani nchini DRC, kulikoni?Hali Gaza inaendelea kuwa tete wakati ucheleweshwji wa kuhamisha wagonjwa hususan watoto wanaohitaji msaada wa haraka wa huduma za afya imekuwa ni …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina mada inayotupeleka nchini Kenya kuzunguza na uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu mada tofauti ikiwemo uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno HEKEMUA.Uchambuzi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wato…
  continue reading
 
Alright witches, it's time to talk about the elephant in the room: religion! Whether hearing Jesus or God causes a cringe... or you're terrified of diving into magic at all because "thou shalt not suffer a witch to live..." this episode is for you to help neutralize fears of religion... and neutralize fears of being witchy *because* of religion. In…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi ya Israeli kaskazini mwa Gaza unaoleta changamoto za kuendelea na chanjo ya polio, na virusi vya Marburg nchini Rwanda. Makala tunakupeleka nchini Uganda na mashinani nchini Lebanon, kulikoni?Mashambulizi makali ya anga kutoka kwa jeshi la Israel, idadi kubwa ya watu kutawanywa na ukosefu wa fursa ya kufika…
  continue reading
 
Ndoa za utotoni,ubakaji na kutelekeza watoto, haya ndio matatizo yaliyokuwa yanaripotiwa mara nyingi zaidi kwa kuathiri watoto katika makazi ya wakimbizi katika wilaya Kyegegwa magharibi mwa Uganda. Hata hivyo, kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF na ufadhili kutoka wahisani wa Uingereza UKaid, maelfu ya wazazi katik…
  continue reading
 
Mashambulizi makali ya anga kutoka kwa jeshi la Israel, idadi kubwa ya watu kutawanywa na ukosefu wa fursa ya kufika Gaza Kaskakzini vimelazimisha kuahirishwa kwa kameni ya chanjo kwa mujibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Afya Duniani WHO, la kuhudumia watoto UNICEF na la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA. Asante Anold, kampeni hi…
  continue reading
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani amewapongeza wahudumu wa afya wa nchini Rwanda kwa kazi kubwa wanaoyoifanya kukabiliana na ugonjwa wa Marburg. Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza hisia zake hizo mwishoni mwa wiki alipofanya ziara katika vituo mbalimbali vya afya katika mji Mkuu wa nchi hiyo, Kigali."Ninawapongeza…
  continue reading
 
Grow and harvest fragrant lavender for the kitchen and apothecary! Author, chef, and lavender farmer Terry Vesci joins us to talk about her new book The Lavender Companion. We'll learn how to grow and harvest lavender, the best cultivars for culinary and medicinal uses and some of Terry's favorite ways to use lavender. She'll also share some tips t…
  continue reading
 
Umoja wa Mataifa unaendelea kuunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika kukabili habari potofu na za uongo hususan huko mashariki mwa nchi ambako vikundi vilivyojihami vinaendelea kushambulia raia na kupambana na jeshi la serikali. Hivi karibuni Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, um…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kufuatilia kazi za kituo cha Taifa cha Redio na Televisheni, RTNC huko Beni jimboni Kivu Kaskazini za kakabiliana na habari potofu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo mjini Cairo, Misri, imebainisha kwamba athari za vita…
  continue reading
 
In this episode, Fiona Maxwell (University of Chicago) highlights the presence and power of youth voices in the collaborative print culture of Progressive Era Club Newspapers. Through a close look at Northwestern University Settlement House, Fiona illustrates the varied, and often fun, ways in which children and youth from marginalized communities …
  continue reading
 
Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Katika kaunti hii vumbi linalotimuka katika eneo tambarare lisilo na miti linakufanya kujiuliza je Nini kizuri kinaweza kufanyika hapa kwenye ukame uliotamalaki? Lakini cha kustaajabisha ni k…
  continue reading
 
Kila siku, mamilioni ya watoto kote ulimwenguni huenda shule wakiwa na njaa, wengi wao wakiteseka na utapiamlo sugu ambao huathiri ukuaji wa kiakili na utendaji wao katika masomo. Wanaobahatika huweza tu kumaliza masomo yao na kufanikiwa maishani kutokana na programu ya ‘mlo ya shuleni’ inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chak…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa COP16 katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia na ufugaji nyuki Turakana nchini Kenya. Pia tunakupeleka nchini Somalia kufutilia programu wa WFP wa mlo shuleni na mashinani inatupeleka nchini Lebanon.Mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa bayonuai (COP16) umeng’oa nanga …
  continue reading
 
Mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa bayonuai (COP16) umeng’oa nanga leo katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia ambapo mataifa 196 yatajadili jinsi ya kusitisha na kubadili mwelekeo wa kudorora kwa ulimwengu wa asili. COP16 kwa siku 12, viongozi na wadau kutoka kote duniani wanatarajiwa kujadili namna ya w…
  continue reading
 
Tuliyokuandalia ni pamoja na michuano ya kufuzu AFCON U20 mwaka ujao, namna timu za Afrika zilicheza kwenye wiki ya kwanza ya Kombe la Dunia la kina dada wasiozidi miaka 17, timu ambazo tayari zimefuzu AFCON ya 2025 nchini Morocco na nafasi ya timu za Afrika Mashariki na Kati, AFCON ya ufukweni yaanza leo nchini Misri, droo ya klabu bingwa Afrika k…
  continue reading
 
Tume hiyo huru imeyasema hayo katika taarifa mpya ya msimamo wa kisheriia iliyotolewa mjini Geneva Uswis kuhusu eneo linalokaliwa la Palestina ikiwemo Jerusalem Mashariki ambayo imeweka wazi maoni ya tume kuhusiana na wajibu wa serikali na jinsi Baraza Kuu na Baraza la Usalama linavyoweza kutambua na kutekeleza mbinu na hatua sahihi zinazohitajika …
  continue reading
 
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO linapigia chepuo uwepo wa mifumo ya uzalishaji chakula inayoendana na kila eneo husika, mathalani kilimo kitumie mbegu za asili za eneo husika kama mbinu ya kukabili mabadiliko ya tabianchi. Kupata aina tofauti tofauti za mbegu za asili kwa eneo husika kunainua kipato cha wakazi wa vijijini na k…
  continue reading
 
Ripoti nyingine mpya ya tathimini ya uchunguzi wa hali na mazingira ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwaka 1961 Dag Hammarskjöld imetolewa leo ikiwa na vipengele vinne vipya vikiongeza uwezekano kwamba kifo hicho cha ajali ya ndege kilikuwa ni hila. Asante Anold kwanza ikumbukwe kuwa hii sio ripoti ya kwanza na huenda isiwe ya …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia eneo linalokaliwa kwa mbavu la Kipalestina, na ndoto Mchezaji kijana wa soka zilizokatizwa na vita katika ukanda wa Gaza. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani Kenya, kulikoni?Tume Huru ya Kimataifa ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu eneo linalokaliwa la Palestina leo imesema mataifa yote na mashirika ya…
  continue reading
 
Katika ufukwe wa Al- Mawasi, magharibi mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza huko Mashariki ya Kati, mchezaji mpira wa Klabu ya Soka ya Rafah Services anaendelea na mazoezi yake ili kuendeleza uthabiti wa mwili kama mchezaji wa soka wa kulipwa wa klabu hiyo muhimu wakati huu mashambulizi ya makombora yakiendelea kwenye eneo hilo. Jua linazama…
  continue reading
 
Katika kujifunza lugha ya kiswahili, matamshi sahihi ya lugha husaidia kufikisha ujumbe sahihi. Kinyume cha hivyo ujumbe utakuwa sivyo ndivyo na ndio maana hii leo, mbobezi wa lugha ya Kiswahili, Joramu Nkumbi kutoka Tanzania anafafanua tofauti ya maana ya maneno Ajali na Ajari, hasa pale yatakapotamkwa na mzungumzaji anayechanganya herufi ‘R’ na ‘…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kufuatilia juhudi za vijana hasa katika kuboresha mifumo ya elimu katika matumizi ya teknolojia ambapo Gloria Anderson, Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shirika la TEDI anatufafanulia zaidi.Leo ni siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mata…
  continue reading
 
Mbali na usaidizi mkubwa kwa watu waliokimbia makazi yao kutokana na migogoro mashariki mwa DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linatoa msaada kupitia miradi iliyo ndani ya mfumo wa kuzuia na kupunguza hatari za unyanyasaji wa kijinsia unaohusishwa na uhakika wa kupata chakula. Takriban wanawake 40 waliokimbia makazi…
  continue reading
 
Nchini Kenya, Idara ya Taifa ya Ulinzi wa Jamii kwa kushirikiana na Baraza la Kitaifa la watu wenye ulemavu na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, wameendesha kambi ya kusaidia uoni kwa watu wenye changamoto. Mmoja wa wanufaika wa juhudi hii ni Candy, msichan wa mwenye umri wa miaka 7 ambaye ana ualbino.Akiwa mwingi wa matumaini…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazi siku ya chakula duniani ikitupeleka jijini Roma Italia kufuatilia maadhimisho yake. Pia tunakupeleka nchini Kenya kusikia ni kwa jinsi gani mashirika wanhaha kusaidia uoni kwa watu wenye changamoto. Makala tunakwengda nchini DRC na mashinani Sierra Leone, kulikoni?Washiriki wa Sherehe za kimataifa za mwaka huu wa 2024 za…
  continue reading
 
Washiriki wa Sherehe za kimataifa za mwaka huu wa 2024 za kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Chakula zilizofanyika leo katika makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) jijini Roma Italia wamesisitiza haja ya upatikanaji wa vyakula mbalimbali vya kutosha, vyenye lishe, bei nafuu na salama.Ni maadhimisho ambayo yamewaleta wa…
  continue reading
 
Hii leo jaridani kesho ikiwa ni siku ya chakula duniani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kufuatili juhudi za FAO za kuhakikisha haki ya chakula kwa maisha bora na mustakabali bora kwa wananchi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Licha ya mashambulizi, awamu ya pili ya chanjo kwa watoto dhidi ya polio huko Gaza i…
  continue reading
 
In this episode, I'm joined by Emily Flood, founder of Fitness Witchcraft, who discusses with me how she helps witches feel great in their bodies by tapping into their magic. She combines depth psychology and ritual to create deep intrinsic change and release triggers that lead to unhealthy habits and patterns. Emily shares how working with spirit …
  continue reading
 
Apollo, Hecate, The Morrigan, Hestia, Hera, Aphrodite, & more... Cassandra is here today sharing her story of how she has been working with her deities with Fitness Witchcraft in order to lose over 22lbs, graduate from therapy, deepen her relationships, and even make more money in her business... in just 6 months! 🎃Grab your ticket for the Samhain …
  continue reading
 
Operesheni ya vikosi vya jeshi la Israel inayoendeea Kaskazini mwa Gaza kwa njia ya anga na ardhini kukabiliana na wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa Kipalestina la Hamas yamelifanya eneo hilo kukatwa na sehemu zingine za Gaza, kwa kiasi kikubwa raia wakikosa huduma za msingi kama chakula, elimu na matibabu. Hospitali karibu zote Gaza Kaskazini h…
  continue reading
 
Sodo au taulo za kike, vile vile pedi, ni muhimu kwa wanawake na wasichana, lakini wengi hawawezi kuzipata wakati wa vita na ukimbizi. Leo tunakutana na Samer, mvulana huyu ambaye akiwa na umri wa miaka 16 tu, kwa msaada wa klabu ya usafi ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, anatengeneza na kusambaza sodo kwa wanawake na wasic…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia masuala ya afya katika ukanda wa Gaza yakiwa ni pamoja na chanjo dhidi ya polio huku mashambulizi ya Israel yakiendelea, na kuwahamisha wagonjwa majeruhi. Pia tunaangazia mchango wa wakimbizi Sudan kwa jamii, na ndoa za utotoni Zambia.Mashambulizi yakiendelea kurindima kutoka pande hasimu, jeshi la Israeli na wanamgambo…
  continue reading
 
Mashambulizi yakiendelea kurindima kutoka pande hasimu, jeshi la Israeli na wanamgambo wa Hamas huko Gaza, na Hezbollah huko kusini mwa Lebanon, mashirika ya Umoja wa Mataifa yameendelea na awamu ya pili ya chanjo dhidi ya Polio Ukanda wa Gaza, huku huko Lebanon ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura ikisihi raia wasilengwe. Naanz…
  continue reading
 
Mwaka mmoja wa vita katika ukanda wa Gaza iliyochochewa na mashambulizi ya Hamas dhidi ya Israeli Oktoba 7, 2023 na kisha Israeli kujibu mashambulizi yanayoendelea hadi leo, umekuwa ukimulika zaidi madhara ya vifo na majeruhi. Lakini sasa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limekusogezea madhara ya vita katika kilimo na ufugaji na …
  continue reading
 
Ikiwa le oni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa kuwapa sikio watoto wa kike akianza ujumbe wake mahususi kwa ajili ya siku hii akisema uwezo wa wasichana zaidi ya bilioni 1.1 duniani hauna kikomo lakini tunapokaribia tarehe mwaka 2030, wa mwisho kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, ulim…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike na juhudi za Umoja wa Mataifa za kutokomeza ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na unaofanyika mtandaoni. Makala tunakupeleka katika ukanda wa Gaza, na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres …
  continue reading
 
Nchini Ethiopia hususan katika jimbo la Somali, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limechukua hatua kusaidia manusura wa ukatili wa kijinsia kuweza kujenga upya maisha yao wakati huu ambapo takwimu za shirika hilo zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na wasichana milioni 370 duniani kote wamekumbwa na ukatili wa kingono wakati wa …
  continue reading
 
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu hii leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”Bởi Dkt. Josephat Gitonga
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika malengo ya maendeleo endelevu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwema za Lebanon, afya ya akili na ripoti ya UNICEF kuhusu ukatili wa kingono. Katika kujifunza Kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Nchini Lebanon ujumbe wa jeshi la Umoja wa Mataifa la mpito nchini humo, UNIFIL, unase…
  continue reading
 
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeanza chanjo dhidi ya ugonjwa wa homa ya Nyani au MPOX mwishoni mwa wiki iliyopita. Hii ni hatua muhimu ya kuongeza juhudi zinazoendelea za kupambana na mlipuko wa ugonjwa huo ambao DRC inachangia asilimia 90 ya wagonjwa wote zaidi ya 18,000 duniani. Lengo sasa ni kuokoa maisha, limesema shirika la Umoja wa …
  continue reading
 
Hii leo jaridani ikiwa ni siku ya posta duniani tunaangazia huduma za posta na juhudi za mashirika za kukabiliana na Mpox nchini DRC. Makala tunasalia huko huko DRC kufuatilia uzinduzi wa chanjo dhidi ya ugonjwa huo huo, na mashinani tunakupeleka nchini Lebanon.Leo siku ya posta duniani huduma ambayo ilionekana kuwa itasambaratika kufuatia ujio wa …
  continue reading
 
Leo siku ya posta duniani huduma ambayo ilionekana kuwa itasambaratika kufuatia ujio wa maendeleo ya teknolojia ya intaneti lakini wenyewe wasimamizi wa huduma hii duniani wanasema licha ya mtikisiko sasa mambo yanashamiri, siri kubwa ikiwa ni ubia badala ya ushindani. Tunasherehekea miaka 150 ya shirika la Umoja wa Mataifa la Posta, UPU, tunatambu…
  continue reading
 
Ukisikia makovu yasiyofutika ni ya simulizi hii utakayoisikia kuhusu familia moja huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kupoteza watoto wanne kutokana na ugonjwa wa homa ya nyani au mpox huku mustakabali wao ukisalia mashakani kwani bado hawafahamu hali itakuwa vipi kwenye familia yao, baba na mama wakipambana na ugonjwa huo. Video ya s…
  continue reading
 
Let's dig into the wild world of fungi to explore the magic of mushrooms. We'll talk about growing and harvesting mushrooms and using the mushrooms as both food and medicine - plus recipes for double mushroom extract and delicious shiitake duxelles. This is a mushroom laced episode of Seeds & Weeds! Learn how to grow shiitake mushrooms on logs! Vid…
  continue reading
 
Loading …

Hướng dẫn sử dụng nhanh